Mheshimiwa Fredrick Tluway Sumaye akiongozana na Mke wake, Esther Sumaye pamoja na Wakurugenzi wamiliki wa New Vincents Restaurant (Kilimanjaro) - Reading (UK) Ndugu Jafar Gardol (Kushoto), Kulia kabisa ni Ndugu Alan Kalinga (ambaye pia ni Mkurugenzi Mmiliki wa New Vincent Restaurant), nyuma kabisa ni Mwenyekiti wa Tawi la CCM - London UK, Maina Owino)
Mchungaji Tumaini Kallaghe (wa pili kutoka kushoto) wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri London UK, Anande Semwenda, Susan Mzee, Mama Sumaye, Mheshimiwa Fedrick Sumaye, Ndugu Joas, katika picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment